WAZIRI AWESO AZUNGUMZA NA WAZIRI WA MAJI INDIA KUSHIRIKIANA KUBORESHA MIRADI YA MAJI
Na Mwandishi Wetu-India Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Maji wa Jamhuri ya Watu wa India Hon. Gajendra Singh Shekhawat lengo likiwa ni kuleta salam za Shukrani kwa Serikali ya India kutokana na sapoti pamoja na mikopo nafuu inayotolewa kwa Serikali ya Tanzania kutekeleza miradi mbalimbali Nchini ikiwemo mradi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed